
Siku hii wasimamizi wa gate la Umbwe walinijulisha kuwa mpaka muda huo (ilikuwa ni kama saa 8 mchana hivi) tayari wageni wapatao 150 walikuwa wameshapanda Mlima kupitia gate hilo. Muda niliokaa hapo gateni nilipata bahati ya kuongea na wadau kadha na kupata dondoo mbali mbali kuhusu mchakato mzima wa kupanda mlima na route ya Umbwe pia. Utazipata hapa hapa, stay tuned..
No comments:
Post a Comment