![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgrQ0SvsbpMmFR3BmmTtUeLHTTKq1IIJlLdXZxF_2B7p-5WrWbO5gPE_rElJbmEUgd0D5oG1AUVJs9ZnIg7sIjyeJQ5GFMH7SPdIOn1AhJiAowdzOkdDcXtBmCLYLsf8W179IE3emEgFJAf/s400/01.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjVBwzwXpo6VHTSQw2wBD2YetEWpEtd6PsBvdF3UdcNi8EN5skGzwosvgup7ICnABP4NHqOSEx9GBQi2jQw61vs4pJQhbhfExgZb_olN62EkEsbi3KbvTZzd18mFBLl7lgB-SOQC0W5Al9M/s400/02.jpg)
jambo moja la kustaajabisha kuhusu kiboko ni kwamba hajui kuogelea. Licha ya kwamba sehemu kubwa ya maisha yake huishi majini, kiboko hajui kuogelea na tena kiboko mkubwa hana uwezo wa kuelea. Kiboko hukaa ktk sehemu ze mto zenye maji ya kina kifupi ambako anakuwa 'anasimama' kwa miguu yake. Au zile sehemu ambazo kuna 'kisiwa' kilichotengenezwa kwa mchanga uliomwaga na maji katikati ya mto.
Kinachomsaidia kiboko ni uwezo wake mkubwa wa kubana pumzi, hali inayompa uwezo wa 'kukimbia' akiwa majini - chini kwa chini - na kwenda mbali. na anapohitaji kupumua, hujirusha (propel) kuelekea juu ambako ataibukua na kuvuta pumzi na kisha kurudi chini mara moja. Viboko watoto ndio wanauwezo wa kuelea na kuogelea. uzito wa mwili unavyoongezeka, ndivyo uwezo wa kuoelea unavyopotea.
Kinachomsaidia kiboko ni uwezo wake mkubwa wa kubana pumzi, hali inayompa uwezo wa 'kukimbia' akiwa majini - chini kwa chini - na kwenda mbali. na anapohitaji kupumua, hujirusha (propel) kuelekea juu ambako ataibukua na kuvuta pumzi na kisha kurudi chini mara moja. Viboko watoto ndio wanauwezo wa kuelea na kuogelea. uzito wa mwili unavyoongezeka, ndivyo uwezo wa kuoelea unavyopotea.
Picha zote ni viboko wa Selous wakiwa ndani ya Mto Rufiji.
No comments:
Post a Comment