Sharubu wanakuwa na tabia ya kubakia eneo moja kwa muda mrefu kipindi cha mchana kutokana na ukweli ya kwamba wao hufanya mawindo yao mida ya usiku. Jua linapochomoza, hutafuta kivuli na kuuchapa usingizi. Ndio maana mara nyingi wageni huwakuta sharubu wakiwa ktk mapozi ya kulala. Hali ni tofauti kwa wanyama kama mchakamchaka, wa chini au bwana afya. baadhi yao huwa na mishe mishe nyingi mida ya mchana hivyo usitegemee kuwakuta sehemu moja ukiwa porini.
Tuesday, November 15, 2011
Pembezoni mwa ziwa Nzerekela - Selous GR
Sharubu wanakuwa na tabia ya kubakia eneo moja kwa muda mrefu kipindi cha mchana kutokana na ukweli ya kwamba wao hufanya mawindo yao mida ya usiku. Jua linapochomoza, hutafuta kivuli na kuuchapa usingizi. Ndio maana mara nyingi wageni huwakuta sharubu wakiwa ktk mapozi ya kulala. Hali ni tofauti kwa wanyama kama mchakamchaka, wa chini au bwana afya. baadhi yao huwa na mishe mishe nyingi mida ya mchana hivyo usitegemee kuwakuta sehemu moja ukiwa porini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment