Ni nadra kuwakuta wazawa wakifanya camping. mara nyingi wageni toka nje ya nchi au raia wa kigeni wanaoishi nchini ndio huenda kupiga kambi hapo. TembeaTz inawapongeza wadau hawa kwa uamuzi wao wa kutembelea hifadhi ya Mikumi.
Tuesday, December 21, 2010
Melela Nzuri campsite
Ni nadra kuwakuta wazawa wakifanya camping. mara nyingi wageni toka nje ya nchi au raia wa kigeni wanaoishi nchini ndio huenda kupiga kambi hapo. TembeaTz inawapongeza wadau hawa kwa uamuzi wao wa kutembelea hifadhi ya Mikumi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment