Sunday, September 19, 2010

Hawaogopi watu

Hawa jamaa sio waoga, ukienda Serengeti na ukatembelea kituo cha taarifa mbalimbali kuhusu hifadhi ya Serengeti utawakuta wapo wa kutosha tu. wakati mwingine itakulazimu wewe uwapishe au uwakwepe kwa maana wao sio waoga kabisa. Huyo hapo pembeni yangu alikuwa katulia tuli na tukapiga wote snepu. picha toka maktaba ya TembeaTz

1 comment:

  1. Inaelekea hapo wewe ndio ulikuwa unamuogopa. ukasahau kabisa zoezi la kumwangalia kameraman wakati anakupiga picha

    Nimeipenda mandhari ya hilo eneo

    Mdau SM,
    Salasala

    ReplyDelete