Uzinduzi huo ulienda sambamba na safari iliwapeleka wazelendo kadhaa ktk mji mkongwe wa bagamoyo ili kujifunza na kujionea mambo kadhaa huko. Uongozi wa Pongo unaahidi mambo kem kem kwa wazalendo wenye kupenda mambo ya kutembelea Vivution vy utalii zikiwemo mbuga za wanyama na maeneo muhimu ya historia ya nchi na mwanadamu kwa ujumla vilivyomo ndani ya Tanzania.
Miss Utalii wa ndani aka Domestic Tourism Sia Ndaskoi akila poz na moja ya ndinga za safari inayomilikiwa na Pongo Safaris ktk ofisi za pongo safaris.
No comments:
Post a Comment