wengi tumezoea kutembea mbugani ukiwa ndani ya gari maalum. Lakini ki-ukweli, kuna namna nyingi ambazo mtu anaweza tembelea mbuga na kujionea wanyama, mimea na mandhari ya eneo husika. kati ya hizi kuna Game walking (matembezi ya miguu) wengine hupenda kuuita trekking na hot air balloon safaris.
picha chini zinakuonyesha safari iliyofanywa na mtembezi ndani ya Selous Game reserve. ilikuwa ni safari ya kilometa 8 iliyoanzia geti la Mtemere na kuishia ktk moja ya maziwa mengi yaliyopo ktk pori hilo, Lake Mzizimia one (Ox-bow lake)
Ni mwendo wa mstari kama wanafunzi wa shule ya msingi, huku guide mwenye bunduki akiongoza njia
picha chini zinakuonyesha safari iliyofanywa na mtembezi ndani ya Selous Game reserve. ilikuwa ni safari ya kilometa 8 iliyoanzia geti la Mtemere na kuishia ktk moja ya maziwa mengi yaliyopo ktk pori hilo, Lake Mzizimia one (Ox-bow lake)




No comments:
Post a Comment