Sunday, August 9, 2009

Kichwa Cha Treni

Picha juu ni kichwa/injini ya treni inayomilikiwa na Shirika la TAZARA.
hii ilikuwa ni treni maalum ya TAZARA iliyokuwa inapeleka watalii ktk mbuga ya Selous kupitia reli ya TAZARA.

Hii ni sehemu anayokaa dereva. kila upande wa injini hii kuna vyumba kama hivi. vinakuwa viwili. unayoiona sio stearing. hiyo ndio accelerator ya treni.

'gia' mbili uzionazo pembeni ni breki za treni. Moja ni kwa ajili ya injini peke yake.
nyingine ni kwa ajili ya injini pamoja na mabehewa yake yote

Dereva wa treni akiwa anapangua mabehewa ktk stesheni ya Kisaki. ili kuiweka treni hiyo ktk mkao mahususi wa kurudi dar baada ya kukatisha mbuga ya Selous

Dereva akiongeza mwendo wakati wa kufanya shunting ktk stesheni ya Kisaki.

No comments:

Post a Comment