Wamasai huishi nje ya crater (Lakini bado ndani ya eneo la hifadhi), Huwa wanaingia ndani ya crater kwa lengo la kupata maji kwa ajili ya mifugo yao. Safari zao za kuingia crater wakati mwingine hukutana na changamoto za wanyama wakali, lakini jamaa bado wanaendelea na utaratibu huu mpaka kesho
Mdau ukitembelea crater na kukuta ng'ombe, mbuzi au kondoo usije dhania nao ni wanyama pori. Mwenyewe hatakuwa mbali nao
Hili sikuwahi kulijua, shukran KK kwa kunifungua macho
ReplyDelete