Hivi sasa inaelezwa ya kwamba wanyama hawa wapo ktk hatihati ya kutoweka, ndio maana juhudi kadhaa za kuwanusuru zinafanyika ili waendelee kuwepo. Picha juu ni kituo kilichopo ndani ya Mkomazi National Park, Same ambako hawa jamaa wanatunzwa kwa lengo la kuzaliana ili kuweza kuongeza idadi yao - breeding in captivity. wakizaliana vya kutosha hurudishwa porini ili kuendelea na maisha kama kawa.
Monday, March 1, 2010
Mchaka mchaka
Hivi sasa inaelezwa ya kwamba wanyama hawa wapo ktk hatihati ya kutoweka, ndio maana juhudi kadhaa za kuwanusuru zinafanyika ili waendelee kuwepo. Picha juu ni kituo kilichopo ndani ya Mkomazi National Park, Same ambako hawa jamaa wanatunzwa kwa lengo la kuzaliana ili kuweza kuongeza idadi yao - breeding in captivity. wakizaliana vya kutosha hurudishwa porini ili kuendelea na maisha kama kawa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
NI KITU GANI KINAFANYA HAWA WANYAMA WAWE KWENYE HATIHATI YA KUPOTEA NAOMBA JIBU MDAU NINA HAMU SANA YA KUJUA MAANA SIPATI LOGIK
ReplyDelete