
Ukifika Oludapai Gorge, moja ya vitu vitakavyokustaajabisha ni hili 'jiwe' la kumbukumbu ya huyo jamaa. huyu jamaa amejizolea umaarufu duniani kwa ku-trot (mchaka mchaka) kwa umbali mrefu akivuka mipaka ya nchi hadi kuja kuishia Kaskazini mwa Tanzania.
Bofya hapa kupata dondoo zaidi za huyu jamaa na mizunguko yake
No comments:
Post a Comment