Mazungumzo yakiendelea ndani ya Banda ambalo taasisi kadhaa za Serikali zenye dhamana ya utalii zimepiga kambi kwenye maonesho haya ya Karibu.
Mhe Nyalandu akipokea zawadi toka kwa Mkurugenzi wa masoko wa TTB Bi Devotha Mdachi baada ya mazungumzo mafupi ktk banda la taasisi mbalimbali za serikali zenye dhamana ya Utalii.
Akipata maelezo kwenye banda la Cultural tourism programmme
Ktk banda la Precision.
Akipata maelezo ya kampuni inayotoa huduma za helikpta hapa Tanzania ya Whirlwind. Anayempa Maelezo ni Capt. Neels. Ktk Maelezo yake, Capt Neels alisema kuwa kampuni yake ipo mbioni kuleta helikopta tano mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka huu. Mpango wao ni kuzitawanya maeneo mbalimbali ya nchi hii ili ziweze kutumika kwenye huduma za dharura haraka pale zinapohitajika. Sasa hivi wana helikopta moja nchini.
Akiendelea kutembelea mabanda mbalimbali ktk maonesho.
No comments:
Post a Comment