
Niliwahi kuona ktk moja ya zile filamu za
The gods must be crazy jamaa akijikuna mpaka kupoteza malengo na kuishia kujisalimisha kwa mpinzani wake baada ya kudondokewa na utomvu uliotoka ktk mti wa Mkakati (Cactus). Hivi ni kweli utomvu wa mtu huu unawasha kiasi kile au
chumvi iliongezewa?...
(picha TTB, Ruaha NP)
No comments:
Post a Comment