
Himo yenyewe ipo kilometa chache toka ilipo Himo njia panda. ni kwenye njia inayoelekea Marangu/Holili ndipo unapokutana nayo. Kwa anayetokea Mwanga/Same atakata kona kuelekea kulia wakati yule anayetokea Moshi mjini atanyoosha moja kwa moja kuelekea huko. Picha juu inaonyesha Himo yenyewe inavyoonekana ukiwa unatokea Himo njia panda
hapo unakutana na njia panda ambapo kuna njia (kushoto) itakayokupelea Marangu, Rombo na tarakea na ukinyoosha moja kwa moja unakuwa unaelekea mpaka wa Holili. haupo mbali sana na hapo
No comments:
Post a Comment