


Wengi wetu tulisikitishwa na kitendo cha ngedere huyo hasa hasa kwa kumuona Mama Swala akishuhudia mwanae akitafunwa na ngedere. lakini ki ukweli hii ndio system ya porini. hivyo ndivyo wanyama wanavyoishi na kustawi porini.
hali ya jamii moja kula wanyama wengine ni muhimu sana ili kuweza kubalance neema ktk eneo husika. ukiondoa wanyama wanaokula wanyama wenzao, basi haitachukua muda mrefu wanyama wanaokula nyasi watakuwa ktk hali mbaya sana. hii inatokana na ukweli kwamba watazaliana sana kiasi cha mazingira kushindwa kuweza kuwa support kwa malisho bora. hivyo hali hii inakuwa ni tishio kubwa kwa mazingira.
hali inakuwa hivyo hivyo ambapo wala nyasi wanapotoweka, mbuga inageuka kuwa pori na kufanya wanyama wadogo wadogo kushindwa kumudu mazingira. kwa wenye uwezo watakimbilia mbali kwa wasio na uwezo huweza kufa na kutoweka kabisa.
hivi ndivyo equation ya nature inavyo ji-balance yenyewe.
hali ya jamii moja kula wanyama wengine ni muhimu sana ili kuweza kubalance neema ktk eneo husika. ukiondoa wanyama wanaokula wanyama wenzao, basi haitachukua muda mrefu wanyama wanaokula nyasi watakuwa ktk hali mbaya sana. hii inatokana na ukweli kwamba watazaliana sana kiasi cha mazingira kushindwa kuweza kuwa support kwa malisho bora. hivyo hali hii inakuwa ni tishio kubwa kwa mazingira.
hali inakuwa hivyo hivyo ambapo wala nyasi wanapotoweka, mbuga inageuka kuwa pori na kufanya wanyama wadogo wadogo kushindwa kumudu mazingira. kwa wenye uwezo watakimbilia mbali kwa wasio na uwezo huweza kufa na kutoweka kabisa.
hivi ndivyo equation ya nature inavyo ji-balance yenyewe.
No comments:
Post a Comment