Wednesday, February 1, 2012

Taswira toka Selous GR

Mama na mwana

Wababe wa majini wakiwa ndani ya moja ya maziwa ndani ya pori la akiba la Selous.
Inaelezwa ya kwamba Viboko ndio wanaongoza kwa kujeruhi na kuua watu barani Afrika (kusini mwa Sahara) kushinda mnyama mwingine yeyote yule wa porini.

Mtaani tunasema ukiona manyoya ujue kaliwa..
Porini wanasema ukiwaona hawa jamaa wapo chini ujue kaliwa pia

Shughuli ya sharubu ni usiku, mchana ni siesta kwa kwenda mbele

Kipanga
(Ahsante ya picha kwa mdau Tom)

No comments:

Post a Comment