Hili ni moja ya makundi au watu binafsi ambao huupanda mlima kwa malengo mengi mbalimbali, Ni vyema wadau tukijikusanya na kwenda kuupanda mlima kwa lengo moja tu (kwa kuanzia) nalo ni kuupanda mlima kuashiria uzalendo kwa taifa letu. Gharama ni nafuu kwa mzalendo ukilinganisha na gharama anazolipa mgeni asiye raia wa Jamhuri. Wasiliana na kampuni inayojishughulisha na kupeleka wageni kupanda mlima Kilimanjaro ili upewe mpango mzima wa jinsi safari inavyokuwa. Inaleta unafuu mkubwa endapo wapandaji mtakuwa ktk kundi lenye wapandaji zaidi ya 4. Ahsante ya picha kwa mdau Rodrick.
Wednesday, April 28, 2010
Kwa ajili ya haki za binadamu...
Hili ni moja ya makundi au watu binafsi ambao huupanda mlima kwa malengo mengi mbalimbali, Ni vyema wadau tukijikusanya na kwenda kuupanda mlima kwa lengo moja tu (kwa kuanzia) nalo ni kuupanda mlima kuashiria uzalendo kwa taifa letu. Gharama ni nafuu kwa mzalendo ukilinganisha na gharama anazolipa mgeni asiye raia wa Jamhuri. Wasiliana na kampuni inayojishughulisha na kupeleka wageni kupanda mlima Kilimanjaro ili upewe mpango mzima wa jinsi safari inavyokuwa. Inaleta unafuu mkubwa endapo wapandaji mtakuwa ktk kundi lenye wapandaji zaidi ya 4. Ahsante ya picha kwa mdau Rodrick.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment